Difference between revisions 1003427 and 1003434 on swwiki{{Msanii muziki 2 |Jina = Professor Jay |Background = solo_singer |Img = |Img capt = |Jina la kuzaliwa = Joseph Haule |P.a.k = Jay Wamitulinga, Heavy wait MC, Daddy |Asili yake = [[Dar es Salaam]], [[Tanzania]] |Amezaliwa = {{birth date|1975|12|29|df=yes}} |Aina = [[Muziki wa hip hop|Hip hop]] |Kazi yake = Mbunge (jimbo la Mikumi - Mkoani Morogoro), [[Kurap|Rapper]], [[mtunzi wa nyimbo]], |Miaka ya kazi = |Studio = |Ameshirikiana na = [[Lady Jay Dee]], [[Juma Nature]], [[Inspector Haroun]], [[Black Rhino]], [[Simple X]], [[Q Chillah]], [[A.Y.]], [[Mangwair]] |Tovuti = http://www.Professorjay.net }} '''Joseph Haule''' (amezaliwa [[tar.ehe]] [[29 Desemba]] [[1975]]) ni [[Mtanzania]] [[msanii]] wa [[muziki wa hip hop]] nambaye vilevile [[mwanasiasa]] [[Mtanzania]] na mwanachama wa [[Chama cha kisiasa]] cha [[Chama cha Demokrasia na Maendeleo]] (CHADEMA). Amechaguliwa kuwa [[Wabunge wa Tanzania 2015|mbunge]] wa [[Mikumi]] kwa miaka [[2015]] – [[2020]]. <ref>[http://www.parliament.go.tz/administrations/262 Tovuti ya Bunge la Tanzania], iliangaliwa Mei 2017</ref> ⏎ ⏎ ⏎ ⏎ Anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama '''Professor Jay'''. Katika Tanzania, Prof. Jay anatazamika kama msanii aliyeweza kuwateka wazee waweze kusikiliza e [[muziki]] wa [[Bongo Flava]]. Hasa kwa kibao alichofanya wakati yupo na kundi la [[Hard Blasters Crew]] - [[Chemsha Bongo]]. Professor Jay anatokea kundi la [[Hard Blasters Crew]]. Kundi hilio ni moja ya makundi yaliyofanya muziki huup, ambao hujulikana kama 'muziki wa kizazi kipya', kukubaliwa na sehemu kubwa ya wa [[TWatanzania]]. == Maisha ya muziki == Professor Jay alianza shughuli za muziki mnamo [[miaka ya 90 hivi1990]] na alijiunga na kundi la '[[Hard Blasters Crew]]' (HBC) mnamo mwaka [[1994]]. Mwaka [[1995]] Jay na HBC walishinda kuwa kundi bora la Hip Hop nchini [[Tanzania]]. ⏎ ⏎ ⏎ ⏎ Jay na HBC walitoa [[albamu]] ya kwanza iitwayo 'Funaga Kazi' mwaka [[2000]]. Albamu hiyo inaaminika kwamba ilileta mapinduzi makubwa sana ya muziki wa Hip Hop nchini [[Tanzania]]. Albamu hii yenye [[ujumbe]] mzito ina nyimbo kama 'Chemsha Bongo' na 'Mamsapu' ambazo zilichangia kufanya muziki wa '[[Bongo Flava]]' kuwa wa kila [[rika]] na kupewa [[heshima]]. Kabla ya hapo muziki huuo ulionekana kuwa ni muziki wa wahuni. == Msanii Bbinafsi == Professor Jay aliamua kuwa msanii binafsi mnamo [[2001]] na muda mfupi baada ya hapo akatoa albamu yake ya kwanza iitwayo "Machozi Jasho na Damu". Albamu hii ilivuma haraka sana na kumfanya Prof. Jay kupata apate [[tuzo]] ya kuwa mtunzi bora wa Hip Hop nchini Tanzania kwa nywimbo ywake ywa 'Ndio Mzee' kutoka kwenye albamu hiyo. na i, wkifuatiwa na Nywimbo ywa "Piga Makofi na Bongo [[Dar es Salaam]]" [[Mwaka]] [[2003]] Aalitoa albamu ya pili iitwayo "Mapinduzi Halisi" ambayo nayo ilishinda tuzo ya [[Kili Music Awards]] kuwa albamu bora ya [[Mmuziki]] wa Hip Hop nchini [[Tanzania]] kwa [[mwaka]] [[2003]]. Albamu hii imebeba nNyimbo kama "Zali la Mentali", "Msinitenge," na "Promota Anabeep" [[Mwaka]] [[2006]] [[Januari]] alitoa albamu ya tatu iliyoitwa "J.O.S.EP.P.H". Jina la albamu hii lilitokana na nyimbo iliyotoka [[Mwanzo]] kabla ya Aalbamu kutoka. NyWimbo hii iuu ulichaguliwa kuwa nywimbo bora ywa [[Bongo Flava]] kwenye [[BBC]] na [[Radio One Awards]]. Mpya imewahi [[kuteuliwa]] kuwa ni albamu bora ya Hip Hop , [[Mmtunzi]] bora wa nyimbo za Hip Hop, na [[Nyimbo]] bora ya Hip Hop ya mwaka kwenye Kili Music Awards. [[2006]]."Nikusaidieje". na Bbaadae⏎ ye [[Kisima Music Awards]] ya [[Kenya]] ilikuwa Nyimbo bora ya Hip Hop na Video bora ya Hip Hop kutoka nchini [[Tanzania]]. == Tuzo Alizopata == * '''1''' [[Kili Music Awards]] ( [[2003]] ) * ''' 2''' [[BBC]], [[Radio One Awards]] ( [[2006]] ) * '''3''' [[Kili Music Awards]] ( [[2006]] ) == Muhtasari wa Albamu == * '''1''' Aluta Continua ( [[2007]] ) Ipo Njiani [[Kutolewa]] * '''2''' J.O.S.E.P.H. ( [[2006]] ) * '''3''' [[Mapinduzi]] Halisi ( [[2003]] ) * '''4''' [[Machozi]] [[Jasho]]o na [[Damu]] ( [[2001]] ) == Alioshirikiana nao kimuziki == * '''1''' [[Lady Jay Dee]]. ( [[Bongo]] [[Dar es Salaam]] na Nimeamini) * '''2''' [[Mc Babu Ayubu]]. ( Ndio Mzee ) * '''3''' [[Juma Nature]]. ( Ndio Mzee na Zali la Mentali ) * '''4''' [[Q Chilah]]. ( Msinitenge ) * '''5''' [[Inspector Haroun]]. ( Hakuna Noma ) * '''6''' [[Simple X]]. ( Piga Makofi na Hakuna Noma ) * '''7''' [[Jose Chameleone]]. ( Ndivyo Sivyo - Kutoka [[Uganda]] ) * '''8''' [[Adil a.k.a Hisabati]]. ( Tunawakilisha na Rapper Msaidizi kwenye Ziara - Kutoka [[Tanzania]] ) ==Tanbihi== {{reflist}}⏎ ⏎ ==Viungo vya Nnje== [http://www.Professorjay.net Professor Jay Tovuti Binafsi] [http://www.kwetubongo.com Kwetu Bongo] <p>[http://www.swahiliremix.com Tovuti ya Swahili Remix]</p> {{Mbegu-wanasiasa-Tanzania}} [[Jamii:Waliozaliwa 1975]] [[Jamii:Watu walio hai]] [[Jamii:Wanasiasa wa Tanzania]] [[Jamii:Bunge la Tanzania]] [[Jamii:Wanamuziki wa Tanzania]] All content in the above text box is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike license Version 4 and was originally sourced from https://sw.wikipedia.org/w/index.php?diff=prev&oldid=1003434.
![]() ![]() This site is not affiliated with or endorsed in any way by the Wikimedia Foundation or any of its affiliates. In fact, we fucking despise them.
|