Difference between revisions 823417 and 827874 on swwiki

[[Picha:Sanfranciscoearthquake1906.jpg|thumb|350px|Mji wa [[San Francisco]] ([[Marekani]]) baada ya tetetemo la ardhi la mwaka [[1906]].]]


'''Tetemeko la ardhi'''(zilizala) ni mishtuko ya ghafla ya ardhi. Inatokea mara kwa mara lakini idadi kubwa ni hafifu mno haisikiki na wanadamu ila tu inapimwa na mitambo ya wataalamu.

== Hatari za mitetemeko ya ardhi ==
Tetemeko kubwa laweza kusababisha uharibifu mkubwa na vifo hasa kutokana na majengo yanayoanguka. Baharini tetemeko laweza kusababisha [[tsunami]].

== Sababu ==

Sababu ya tetemeko ni mara nyingi miendo ya [[gandunia]] kama kusukumana kwa [[Bamba la gandunia|mabamba]] ya [[ganda la dunia]]. 
(contracted; show full)[[vls:Eirdbevienge]]
[[wa:Tronnmint d' tere]]
[[war:Linog]]
[[xmf:დიხაშნწალუა]]
[[yi:ערדציטערניש]]
[[zh:地震]]
[[zh-min-nan:Tē-tāng]]
[[zh-yue:地震]]