Difference between revisions 823417 and 827874 on swwiki[[Picha:Sanfranciscoearthquake1906.jpg|thumb|350px|Mji wa [[San Francisco]] ([[Marekani]]) baada ya tetetemo la ardhi la mwaka [[1906]].]] '''Tetemeko la ardhi'''(zilizala) ni mishtuko ya ghafla ya ardhi. Inatokea mara kwa mara lakini idadi kubwa ni hafifu mno haisikiki na wanadamu ila tu inapimwa na mitambo ya wataalamu. == Hatari za mitetemeko ya ardhi == Tetemeko kubwa laweza kusababisha uharibifu mkubwa na vifo hasa kutokana na majengo yanayoanguka. Baharini tetemeko laweza kusababisha [[tsunami]]. == Sababu == Sababu ya tetemeko ni mara nyingi miendo ya [[gandunia]] kama kusukumana kwa [[Bamba la gandunia|mabamba]] ya [[ganda la dunia]]. (contracted; show full)[[vls:Eirdbevienge]] [[wa:Tronnmint d' tere]] [[war:Linog]] [[xmf:დიხაშნწალუა]] [[yi:ערדציטערניש]] [[zh:地震]] [[zh-min-nan:Tē-tāng]] [[zh-yue:地震]] All content in the above text box is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike license Version 4 and was originally sourced from https://sw.wikipedia.org/w/index.php?diff=prev&oldid=827874.
![]() ![]() This site is not affiliated with or endorsed in any way by the Wikimedia Foundation or any of its affiliates. In fact, we fucking despise them.
|