Difference between revisions 851699 and 888435 on swwiki

'''Unafiki''' ni utovu wa [[ukweli]] katika mwenendo wa [[binadamu]] hasa kwa lengo la kujipatia sifa, k. mf. kama mwanadini [[maadili|mwadilifu]].

Tofauti na [[mkosefu]], mnafiki anatenda vema kwa nje, lakini nia yake si kufuata [[dhamiri]] yake na maadili anayojua ni mazuri, bali ni kupendeza watu wengine ili kupata faida fulani kutoka kwao.

Ni jambo linalolaumiwa sana katika [[dini]] zote, hasa [[Ukristo]], kutokana na lawama za [[Yesu]] dhidi ya viongozi wengi wa [[Uyahudi]]. [[Injili]] zinasisitiza hasa lawama zake dhidi ya baadhi ya [[Mafarisayo]].

{{mbegu-elimu}}

[[Jamii:Maadili]]
[[Jamii:Saikolojia]]

[[ar:نفاق]]
[[bs:Licemjerje]]
[[ca:Hipocresia]]
[[cs:Pokrytectví]]
[[da:Hykleri]]
[[de:Heuchelei]]
[[en:Hypocrisy]]
[[eo:Hipokriteco]]
[[es:Hipocresía]]
[[et:Silmakirjalikkus]]
[[fa:نفاق]]
[[fi:Tekopyhyys]]
[[fr:Hypocrisie]]
[[ga:Cealgaireacht]]
[[he:צביעות]]
[[hi:पाखण्ड]]
[[hr:Licemjerje]]
[[hu:Álszenteskedés]]
[[id:Hipokrisi]]
[[io:Hipokriteso]]
[[it:Ipocrisia]]
[[ja:偽善]]
[[kk:Екіжүзділік]]
[[nl:Hypocrisie]]
[[oc:Ipocrisia]]
[[pl:Hipokryzja]]
[[pt:Hipocrisia]]
[[ru:Лицемерие]]
[[sh:Hipokrizija]]
[[sq:Hipokrizia]]
[[sr:Хипокризија]]
[[sv:Hycklare]]
[[tr:İkiyüzlülük]]
[[uk:Лицемірство]]
[[yi:היפאקריטיע]]
[[zh:偽君子]]
[[zh-yue:偽君子]]