Difference between revisions 863821 and 868327 on swwiki{{oOtheruses|G20 (maana)}} {{Infobox organization | name = Group of Twenty Finance Ministers and Central Bank Governors | image = | image_border = | size = | caption = | map = G20.svg (contracted; show full)|- | 2010|| [[Flag country|Korea Kusini]] |} ==Nchi wanachama na mashirika== Mwaka wa 2009, kuna wanachama 20 wa G-20. Hawa ni pamoja na mawaziri wa fedha na magavana wa benki kuu ya nchi 19:<ref name="g20members">[18] ^ [http://www.g20.org/about_what_is_g20.aspx Uanachama wa G-20] kutoka tovuti rasmi ya G-20</ref> * [[Ajentina]]: Rais Cristina Fernandez de Kirchner ** Waziri wa Uchumi [[AMADO Boudou]] * [[Australia]]: Waziri Mkuu Kevin Rudd ** Mweka hazina [[Wayne Swan]] * [[Brazili]]: Rais Luiz Inácio lula da Silva ** Waziri wa Fedha [[Guido Mantega]] * [[Kanada]]: Waziri Mkuu Stephen Harper ** Waziri wa Fedha [[Jim Flaherty]] * [[Uchina]]: Rais Hu Jintao ** Waziri wa Fedha [[Xie Xuren]] * [[Ufaransa]]: Rais [[Nicolas Sarkozy]] ** Waziri wa Uchumi, Viwanda na Ajira [[Christine Lagarde]] * [[Ujerumani]]: Chansela [[Angela Merkel]] ** Waziri wa Fedha [[Wolfgang Schäuble]] * [[Uhindi]]: Waziri Mkuu Manmohan Singh ** Waziri wa Fedha [[Pranab Mukherjee]] * [[Indonesia]]: Rais Susilo Bambang Yudhoyono ** Waziri wa Fedha [[Sri Mulyani Indrawati]] * [[Italia]]: Waziri Mkuu [[Silvio Berlusconi]] ** Waziri wa Uchumi na Fedha [[Giulio Tremonti]] * [[Ujapani]]: Waziri Yukio Hatoyama ** Waziri wa Fedha [[Naoto Kan]] * [[Meksiko]]: President Felipe Calderón ** Katibu wa Fedha [[Ernesto Cordero Arroyo]] * [[Urusi]]: Rais [[Dmitry Medvedev]] ** Waziri wa Fedha [[Alexei Leonidovich Kudrin]] * [[Saudi Arabia]]: King Abdullah ** Waziri wa Fedha Ibrahim Abdulaziz Al-Assaf * [[Afrika ya Kusini]]: President [[Jacob Zuma]] ** Waziri wa Fedha [[Pravin Gordhan]] * [[Korea ya Kusini]]: Rais Lee Myung-bak ** Waziri wa Fedha na Mkakati Yoon Jeung-hyun * [[Uturuki]]: Waziri Mkuu Recep Tayyip Erdoğan ** Waziri wa Fedha [[Mehmet Şimşek]] * [[Uingereza]]: Waziri Mkuu Gordon Brown ** Finansminister [[Alistair Darling]] * [[Marekani]]: Rais [[Barack Obama]] ** Katibu wa Hazina [[Timothy Geithner]] Mwanachama wa 20 ni [[Umoja]] wa [[Ulaya]], ambao unawakilishwa na [[Rais wa Baraza la Ulaya]] na [[Benki Kuu]] ya [[Ulaya]]. Kuongezea wanachama hawa 20, vikao na taasisi zifuatazo, zikiwakilishwa na [[maofisa watendaji wakuu]], hushiriki katika mikutano ya G-20:<ref name="g20members" /> * [[Shirika la Fedha la kimataifa]] * [[Benki ya Dunia]] (contracted; show full)dunia]], mnamo tarehe 15 Novemba 2008.<ref>[29] ^ [http://www.brookings.edu/opinions/2008/1027_governance_rieffel.aspx Kongamano la G-20: je, linahusu nini?,] Kutoka [[Taasisi ya Brookings]]</ref> Viongozi wa G20 walikutana tena mjini [[London]] mnamo tarehe 2 Aprili 2009.<ref>[30] ^ [http://www.number10.gov.uk/Page17594 Uingereza kuwa wenyeji wa mkutano G-20 wa kifedha "Novemba] 26, 2008 kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu wa Uingereza</ref> Kongamano lingine la G20 yalifanyika mnamo 24-25 Septemba 24-25 2009 mjini [[Pittsburgh, Pennsylvania.]] <ref>[31] ^ [http://news.bbc.co.uk/2/hi/business/8072894.stm Marekani kuwa mwenyeji wa mkutano wa G20 unaofuata] BBC News, 28 Mei 2009</ref> === Mikutano ya G-20 === [[File:Dmitry Medvedev 2 April 2009-1.jpg|thumb|right|250px|Viongozi wa nchi wanachama wa G-20 na watu wengine waliokuwepo katika Kongamano la London mjini London tarehe 2 Aprili 2009]] (contracted; show full)[[Jamii:Mashirika ya kimataifa ya kiuchumi]] [[en:G20 industrial nations]] [[ko:G20 공업화 국가]] [[ms:G-20 negara industri]] [[nl:G20]] [[pt:G20 maiores economias]] [[ru:Большая индустриальная двадцатка]] All content in the above text box is licensed under the Creative Commons Attribution-ShareAlike license Version 4 and was originally sourced from https://sw.wikipedia.org/w/index.php?diff=prev&oldid=868327.
![]() ![]() This site is not affiliated with or endorsed in any way by the Wikimedia Foundation or any of its affiliates. In fact, we fucking despise them.
|